-
2 Mambo ya Nyakati 6:22, 23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 “Mwanadamu akimtendea dhambi mwanadamu mwenzake, naye aapishwe* na kuwekwa chini ya wajibu wa kiapo hicho,* naye akiwa chini ya kiapo* aje mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii,+ 23 basi usikie kutoka mbinguni na kuchukua hatua na kuwahukumu watumishi wako kwa kumlipa mwovu na kumwadhibu kwa sababu ya jambo alilotenda*+ na kumtangaza mwadilifu kuwa asiye na hatia* na kumthawabisha kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+
-