31 “Nitaweka mpaka wenu kuanzia Bahari Nyekundu mpaka bahari ya Wafilisti na kuanzia nyikani mpaka kwenye Mto Efrati;+ kwa maana nitawatia wakaaji wa nchi hiyo mikononi mwenu, nanyi mtawafukuza kutoka mbele yenu.+
13 Lakini nabii fulani akaenda kwa Mfalme Ahabu+ wa Israeli na kumwambia: “Yehova anasema, ‘Je, umeuona umati huu wote mkubwa? Tazama, ninautia mikononi mwako leo, kisha utajua kwamba mimi ni Yehova.’”+