5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+
26 Nikaanza kutoa dua kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaangamize watu hawa. Wao ni mali yako binafsi,*+ watu uliowakomboa kwa ukuu wako na kuwatoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+