Kumbukumbu la Torati 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Yehova akaniambia, ‘Tangulia mbele ya watu, na mjitayarishe kuondoka, ili waingie na kuimiliki nchi ambayo nimewaapia mababu zao kwamba nitawapa.’+ Yoshua 21:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia kati ya ahadi zote nzuri ambazo Yehova aliwaahidi Waisraeli; zote zilitimia.+
11 Kisha Yehova akaniambia, ‘Tangulia mbele ya watu, na mjitayarishe kuondoka, ili waingie na kuimiliki nchi ambayo nimewaapia mababu zao kwamba nitawapa.’+
45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia kati ya ahadi zote nzuri ambazo Yehova aliwaahidi Waisraeli; zote zilitimia.+