Ezra 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Waisraeli, makuhani, Walawi,+ na watu wengine waliotoka uhamishoni wakaizindua* nyumba ya Mungu kwa shangwe. Nehemia 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wakati wa kuzindua kuta za Yerusalemu, Walawi walitafutwa kila mahali walipokuwa ili waje Yerusalemu kusherehekea uzinduzi kwa kushangilia, kwa nyimbo za shukrani,+ na kwa matoazi, vinanda, na vinubi.
16 Ndipo Waisraeli, makuhani, Walawi,+ na watu wengine waliotoka uhamishoni wakaizindua* nyumba ya Mungu kwa shangwe.
27 Wakati wa kuzindua kuta za Yerusalemu, Walawi walitafutwa kila mahali walipokuwa ili waje Yerusalemu kusherehekea uzinduzi kwa kushangilia, kwa nyimbo za shukrani,+ na kwa matoazi, vinanda, na vinubi.