-
2 Mambo ya Nyakati 7:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 “Nawe, ukitembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea, kwa kutenda mambo yote niliyokuamuru, nawe ukitii masharti yangu na sheria* zangu,+ 18 ndipo nitakapoimarisha kiti cha ufalme wako,+ kama nilivyofanya agano pamoja na Daudi baba yako,+ niliposema, ‘Hutakosa kamwe mwanamume wa uzao wako atakayetawala Israeli.’+
-