5Mfalme Hiramu wa Tiro+ aliposikia kwamba Sulemani ametiwa mafuta kuwa mfalme baada ya baba yake, aliwatuma watumishi wake kwa Sulemani, kwa maana sikuzote Hiramu alikuwa rafiki ya Daudi.*+
7 Hiramu aliposikia maneno ya Sulemani, akashangilia sana na kusema: “Yehova na asifiwe leo, kwa maana amempa Daudi mwana mwenye hekima atawale taifa hili kubwa!”*+