9 Mwishowe Adoniya akawatoa dhabihu+ kondoo, ng’ombe, na wanyama waliononeshwa, kando ya jiwe la Zohelethi, lililo karibu na En-rogeli, akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme, na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme.
25 Kwa maana leo ameshuka kwenda kuwatoa dhabihu+ ng’ombe dume, wanyama waliononeshwa, na kondoo wengi sana, naye amewaalika wana wote wa mfalme na wakuu wa jeshi na kuhani Abiathari.+ Wako huko wakila na kunywa pamoja naye, nao wanaendelea kusema, ‘Mfalme Adoniya na aishi muda mrefu!’