14 Sulemani akaendelea kukusanya magari ya vita na farasi;* akawa na magari 1,400 ya vita na farasi* 12,000,+ naye aliwaweka katika majiji ya magari ya vita+ karibu naye huko Yerusalemu.+
25 Na Sulemani alikuwa na mabanda 4,000 kwa ajili ya farasi wake na magari yake ya vita na pia alikuwa na farasi* 12,000,+ naye aliwaweka katika majiji ya magari ya vita karibu naye huko Yerusalemu.+