18 Kisha Mfalme Rehoboamu akamtuma Hadoramu,+ aliyekuwa msimamizi wa watu waliofanya kazi ya kulazimishwa, lakini Waisraeli wote wakamuua kwa kumpiga mawe. Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda gari lake na kukimbilia Yerusalemu.+ 19 Na tangu siku hiyo Waisraeli wamekuwa wakiiasi nyumba ya Daudi.