-
2 Mambo ya Nyakati 10:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Ndipo akawaambia: “Rudini kwangu baada ya siku tatu.” Basi watu wakaenda zao.+ 6 Kisha Mfalme Rehoboamu akashauriana na wanaume wazee waliomtumikia Sulemani baba yake alipokuwa hai, akawauliza: “Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?” 7 Wakamjibu: “Ukiwa mwema kwa watu hawa na kuwafurahisha na kuwapa jibu linalofaa, watakuwa watumishi wako sikuzote.”
-