33 “‘Msiichafue nchi mnayoishi ndani yake, kwa sababu damu inachafua nchi,+ na hakuna msamaha kwa ajili ya damu iliyomwagwa nchini isipokuwa kwa kumwaga damu ya yule aliyeimwaga.+
28 Daudi aliposikia habari hizo baadaye, alisema: “Mimi na ufalme wangu hatuna hatia milele mbele za Yehova kwa sababu ya damu+ ya Abneri mwana wa Neri.