Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 10:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi Farao akawaita haraka Musa na Haruni na kuwaambia: “Nimemtendea dhambi Yehova Mungu wenu na ninyi pia. 17 Sasa, tafadhali, mnisamehe dhambi yangu mara hii moja tu, na kumsihi Yehova Mungu wenu angalau aniondolee pigo hili hatari.”

  • Hesabu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo watu wakaja kwa Musa na kumwambia: “Tumetenda dhambi kwa kumnung’unikia Yehova na wewe pia.+ Msihi Yehova atuondolee nyoka hawa.” Basi Musa akamsihi Mungu kwa niaba ya watu.+

  • Yeremia 37:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa kuhani Maaseya kwa nabii Yeremia, akisema: “Tafadhali sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”

  • Matendo 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Simoni akawaambia: “Mwombeni Yehova* dua kwa ajili yangu ili nisipatwe na lolote kati ya mambo mliyosema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki