35 Kwa neno la Yehova, mmoja wa wana wa manabii+ akamwambia mwenzake: “Tafadhali, nipige.” Lakini mtu huyo akakataa kumpiga. 36 Basi akamwambia: “Kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova, mara tu tutakapoachana, simba atakuua.” Walipoachana, simba akatokea na kumuua.