-
1 Wafalme 13:21, 22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 naye akamwambia kwa sauti yule mtu wa Mungu wa kweli aliyetoka Yuda: “Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu uliasi agizo la Yehova, nawe hukushika amri ambayo Yehova Mungu wako alikupa, 22 lakini ulirudi kula mkate na kunywa maji mahali ambapo uliambiwa, “Usile mkate wala kunywa maji,” maiti yako haitazikwa katika makaburi ya mababu zako.’”+
-