-
2 Wafalme 23:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Kisha akauliza: “Lile jiwe la kaburi ninaloona pale ni la nani?” Ndipo watu wa jiji hilo wakamjibu: “Ni kaburi la mtu wa Mungu wa kweli kutoka Yuda+ aliyetabiri mambo haya uliyoitendea madhabahu ya Betheli.” 18 Kwa hiyo akasema: “Acheni apumzike. Mtu yeyote asiiguse mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na mifupa ya yule nabii aliyetoka Samaria.+
-