1 Wafalme 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha Yeroboamu akalijenga* jiji la Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu na kuishi humo. Kutoka huko, akaenda kulijenga* jiji la Penueli.+ 1 Wafalme 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akajenga nyumba za ibada mahali pa juu na kuchagua makuhani kutoka miongoni mwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa Walawi.+
25 Kisha Yeroboamu akalijenga* jiji la Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu na kuishi humo. Kutoka huko, akaenda kulijenga* jiji la Penueli.+
31 Naye akajenga nyumba za ibada mahali pa juu na kuchagua makuhani kutoka miongoni mwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa Walawi.+