-
2 Mambo ya Nyakati 11:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Walawi waliacha malisho yao na miliki yao+ wakaja Yuda na Yerusalemu, kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewaondoa ili wasiwe makuhani wa Yehova.+ 15 Kisha Yeroboamu akawaweka makuhani wake mwenyewe ili wahudumu mahali pa juu+ na kuwatumikia roho waovu wenye umbo la mbuzi*+ na ndama aliokuwa ametengeneza.+
-