1 Wafalme 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Mfalme Sulemani akamjibu mama yake: “Kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu awe mke wa Adoniya? Huenda ukamwombea pia ufalme,+ kwa sababu yeye ni ndugu yangu mkubwa,+ naye anaungwa mkono na kuhani Abiathari na Yoabu+ mwana wa Seruya.”+
22 Ndipo Mfalme Sulemani akamjibu mama yake: “Kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu awe mke wa Adoniya? Huenda ukamwombea pia ufalme,+ kwa sababu yeye ni ndugu yangu mkubwa,+ naye anaungwa mkono na kuhani Abiathari na Yoabu+ mwana wa Seruya.”+