-
2 Mambo ya Nyakati 12:2-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Mfalme Shishaki+ wa Misri alishambulia Yerusalemu, kwa maana hawakuwa waaminifu kwa Yehova. 3 Alikuwa na magari 1,200 ya vita, wapanda farasi 60,000, na idadi isiyohesabika ya wanajeshi waliokuja pamoja naye kutoka Misri—Walibya, Wasukii, na Waethiopia.+ 4 Aliyateka majiji yenye ngome ya Yuda na mwishowe akafika Yerusalemu.
-