Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Elteke, Gibethoni,+ Baalathi,

  • Yoshua 19:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Dani kulingana na koo zao. Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.

  • Yoshua 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Walawi waliobaki wa koo za Wakohathi walipewa majiji kwa kura katika eneo la kabila la Efraimu.

  • Yoshua 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na katika eneo la kabila la Dani: Elteke na malisho yake, Gibethoni na malisho yake,

  • 1 Wafalme 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika mwaka wa 27 wa Mfalme Asa wa Yuda, Zimri akawa mfalme kwa siku saba kule Tirsa wanajeshi walipokuwa wamepiga kambi dhidi ya Gibethoni,+ jiji la Wafilisti.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki