Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, ambayo sasa ni Jiji la Daudi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo. Ndiyo sababu waliiita Jiji la Daudi.

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo Daudi mwana wa Yese alitawala Israeli yote, 27 alitawala Israeli kwa miaka 40. Alitawala huko Hebroni kwa miaka 7,+ na Yerusalemu kwa miaka 33.+

  • Matendo 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Wanaume, akina ndugu, inaruhusika nizungumze nanyi kwa uhuru wa kusema kumhusu Daudi kichwa cha familia, kwamba alikufa, akazikwa,+ na kaburi lake liko hapa kwetu mpaka leo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki