25 Kwa mfano, kwa kweli ninawaambia: Kulikuwa na wajane wengi Israeli siku za Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita, kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.+ 26 Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote kati ya wanawake hao, bali kwa mjane mmoja huko Sarefathi katika nchi ya Sidoni.+