Luka 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa mfano, kwa kweli ninawaambia: Kulikuwa na wajane wengi Israeli siku za Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita, kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.+ Yakobo 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu, na bado aliposali kwa bidii mvua isinyeshe, haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.+
25 Kwa mfano, kwa kweli ninawaambia: Kulikuwa na wajane wengi Israeli siku za Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita, kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.+
17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu, na bado aliposali kwa bidii mvua isinyeshe, haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.+