-
Isaya 44:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Hakuna mtu anayetafakari moyoni mwake
Wala aliye na ujuzi na uelewaji, anayesema:
“Nusu yake niliiteketeza motoni,
Nami nimeoka mkate juu ya makaa yake na kuchoma nyama ya kula.
Basi, je, ninapaswa kutumia sehemu inayobaki kutengeneza kitu kinachochukiza?+
Je, ninapaswa kuabudu kipande cha mbao?”*
20 Anakula majivu.
Moyo wake mwenyewe uliodanganyika umempotosha.
Hawezi kujiokoa,* wala hasemi:
“Je, hamna uwongo katika mkono wangu wa kulia?”
-