Yakobo 5:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu, na bado aliposali kwa bidii mvua isinyeshe, haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.+ 18 Naye akasali tena, na mbingu ikatoa mvua na nchi ikazaa matunda.+
17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu, na bado aliposali kwa bidii mvua isinyeshe, haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.+ 18 Naye akasali tena, na mbingu ikatoa mvua na nchi ikazaa matunda.+