7 Mara tu barua hiyo ilipowafikia, wakawachukua wana wa mfalme, wanaume 70,+ na kuwachinja, kisha wakaweka vichwa vyao ndani ya vikapu, wakampelekea kule Yezreeli.
17 Kisha Yehu akafika Samaria na kuwaua watu wote waliobaki wa nyumba ya Ahabu huko Samaria mpaka alipowaangamiza wote,+ kulingana na neno la Yehova alilomwambia Eliya.+