-
2 Mambo ya Nyakati 18:4, 5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Lakini Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli: “Tafadhali, kwanza tafuta neno la Yehova.”+ 5 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya pamoja manabii, wanaume 400, akawauliza: “Je, twende kupigana vita dhidi ya Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema: “Panda uende, na Mungu wa kweli atalitia jiji hilo mikononi mwako mfalme.”
-