-
1 Wafalme 16:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Na kana kwamba lilikuwa jambo dogo kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, hata alimwoa Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ akaanza kumwabudu Baali+ na kumwinamia. 32 Isitoshe, alisimamisha madhabahu kwa ajili ya Baali katika nyumba ya Baali+ aliyoijenga* kule Samaria.
-