Luka 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi Israeli siku za nabii Elisha; lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa,* ila Naamani Msiria.”+ Luka 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.” Mara moja ule ukoma ukaisha.+
27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi Israeli siku za nabii Elisha; lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa,* ila Naamani Msiria.”+
13 Basi Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.” Mara moja ule ukoma ukaisha.+