1 Wafalme 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova akamwambia: “Rudi, nenda katika nyika ya Damasko. Utakapofika huko, mtie mafuta Hazaeli+ awe mfalme wa Siria. 2 Wafalme 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini siku iliyofuata, Hazaeli akachukua tandiko, akalitumbukiza ndani ya maji, na kumfunika nalo usoni mpaka akafa.+ Kisha Hazaeli akawa mfalme baada yake.+ 2 Wafalme 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Siku hizo Yehova alianza kupunguza* eneo la Israeli, eneo moja baada ya lingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia kotekote katika eneo la Israeli,+
15 Yehova akamwambia: “Rudi, nenda katika nyika ya Damasko. Utakapofika huko, mtie mafuta Hazaeli+ awe mfalme wa Siria.
15 Lakini siku iliyofuata, Hazaeli akachukua tandiko, akalitumbukiza ndani ya maji, na kumfunika nalo usoni mpaka akafa.+ Kisha Hazaeli akawa mfalme baada yake.+
32 Siku hizo Yehova alianza kupunguza* eneo la Israeli, eneo moja baada ya lingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia kotekote katika eneo la Israeli,+