-
2 Mambo ya Nyakati 26:22, 23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Na mambo mengine katika historia ya Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yaliandikwa na nabii Isaya+ mwana wa Amozi. 23 Kisha Uzia akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake, lakini alizikwa katika kiwanja cha kuzikia kilichokuwa mali ya wafalme, kwa maana walisema: “Ni mtu mwenye ukoma.” Na Yothamu mwanawe+ akawa mfalme baada yake.
-