2 Wafalme 14:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,*+ aliyekuwa na umri wa miaka 16,+ wakamweka kuwa mfalme baada ya Amazia baba yake.+ 22 Alijenga upya jiji la Elathi+ na kulirudisha kwa Yuda baada ya mfalme* kuzikwa pamoja na mababu zake.+
21 Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,*+ aliyekuwa na umri wa miaka 16,+ wakamweka kuwa mfalme baada ya Amazia baba yake.+ 22 Alijenga upya jiji la Elathi+ na kulirudisha kwa Yuda baada ya mfalme* kuzikwa pamoja na mababu zake.+