Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Lakini mkono wa Yehova ukaja juu ya Eliya, akajifunga vazi lake kiunoni, akakimbia na kumpita Ahabu na kutangulia kufika Yezreeli.

  • Ezekieli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 neno la Yehova lilimjia Ezekieli* mwana wa Buzi kuhani akiwa kando ya mto Kebari katika nchi ya Wakaldayo.+ Na huko, mkono wa Yehova ukaja juu yake.+

  • Matendo 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Isitoshe, mkono wa Yehova* ulikuwa pamoja nao, na idadi kubwa wakawa waamini na kumgeukia Bwana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki