Yeremia 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Uliumba mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu+ na kwa mkono wako ulionyooshwa. Hakuna jambo la ajabu sana kwako, Marko 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+
17 “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Uliumba mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu+ na kwa mkono wako ulionyooshwa. Hakuna jambo la ajabu sana kwako,
27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+