Zaburi 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mataifa yalikuwa katika msukosuko, falme zilipinduliwa;Alipaza sauti yake, dunia ikayeyuka.+ Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha! Mwashuru,+Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu! Isaya 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, shoka litajikweza juu ya yule anayelitumia kukata? Je, msumeno utajikweza juu ya yule anayeutumia kukata? Je, gongo+ linaweza kumtikisa yule anayeliinua? Au je, fimbo inaweza kumwinua yule ambaye hajatengenezwa kwa mbao?
5 “Aha! Mwashuru,+Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
15 Je, shoka litajikweza juu ya yule anayelitumia kukata? Je, msumeno utajikweza juu ya yule anayeutumia kukata? Je, gongo+ linaweza kumtikisa yule anayeliinua? Au je, fimbo inaweza kumwinua yule ambaye hajatengenezwa kwa mbao?