Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 31:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hezekia alifanya hayo katika nchi yote ya Yuda, naye aliendelea kutenda mema na yaliyo sawa na ya uaminifu mbele za Yehova Mungu wake. 21 Na kila kazi aliyofanya ili kumtafuta Mungu wake, iwe ni kuhusiana na utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli+ au kuhusiana na Sheria na amri, aliifanya kwa moyo wote, naye alifanikiwa.

  • Zaburi 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usikumbuke dhambi na makosa niliyotenda nilipokuwa kijana.

      Nikumbuke kulingana na upendo wako mshikamanifu,+

      Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+

  • Zaburi 119:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Likumbuke neno lako ulilomwambia* mtumishi wako,

      Ambalo kupitia hilo unanipa tumaini.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki