-
2 Mambo ya Nyakati 33:22, 23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama alivyofanya Manase baba yake;+ na Amoni akatoa dhabihu kwa sanamu zote za kuchongwa ambazo Manase baba yake alikuwa ametengeneza,+ naye akaendelea kuziabudu. 23 Lakini hakujinyenyekeza mbele za Yehova+ kama Manase baba yake alivyojinyenyekeza;+ badala yake, Amoni alizidisha sana hatia yake.
-