-
2 Mambo ya Nyakati 34:16-18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Kisha Shafani akampelekea mfalme kitabu hicho na kumwambia: “Watumishi wako wanafanya kila jambo ulilowaambia wafanye. 17 Wamekusanya* pesa zilizopatikana katika nyumba ya Yehova, nao wamewapa wanaume waliowekwa kusimamia kazi na wale wanaofanya kazi.” 18 Pia, mwandishi Shafani akamwambia mfalme: “Kuna kitabu ambacho kuhani Hilkia amenipa.”+ Kisha Shafani akaanza kukisoma mbele ya mfalme.+
-