12 Mana ilikoma siku iliyofuata, baada ya Waisraeli kula baadhi ya mazao ya nchi; Waisraeli hawakupata mana tena,+ wakaanza kula mazao ya nchi ya Kanaani mwaka huo.+
14 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Unga ulio katika huo mtungi mkubwa hautakwisha, na mafuta yaliyo katika huo mtungi mdogo hayatakwisha mpaka siku ambayo Yehova ataleta mvua nchini.’”+