Kumbukumbu la Torati 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 kumbukeni kwamba Yehova Mungu wenu ndiye anayewapa nguvu za kupata utajiri,+ ili atimize agano lake ambalo aliwaapia mababu zenu, kama ilivyo leo.+ Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova ndiyo inayomtajirisha mtu,+Naye haichanganyi na maumivu.* Wafilipi 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye Mungu wangu atawajazia kikamili uhitaji wenu+ kulingana na utajiri wake katika utukufu kupitia Kristo Yesu.
18 kumbukeni kwamba Yehova Mungu wenu ndiye anayewapa nguvu za kupata utajiri,+ ili atimize agano lake ambalo aliwaapia mababu zenu, kama ilivyo leo.+
19 Naye Mungu wangu atawajazia kikamili uhitaji wenu+ kulingana na utajiri wake katika utukufu kupitia Kristo Yesu.