Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ni lazima ninyi na familia zenu mle hapo mbele za Yehova Mungu wenu+ na kushangilia katika kazi zenu zote,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu amewabariki.

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha siku ya 23 ya mwezi wa saba, aliwaruhusu watu waende nyumbani kwao wakishangilia+ na kufurahi moyoni kwa sababu ya wema ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi na Sulemani na watu wake Waisraeli.+

  • Nehemia 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi watu wote wakaenda zao kula na kunywa na kupeana mafungu ya chakula na kushangilia sana,+ kwa maana walielewa maneno waliyokuwa wameambiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki