Ezra 1:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lililosemwa na Yeremia+ litimie, Yehova aliichochea roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, ambalo pia aliliandika,+ akisema: Methali 21:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Yeye huuelekeza mahali popote anapopenda.+
1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lililosemwa na Yeremia+ litimie, Yehova aliichochea roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, ambalo pia aliliandika,+ akisema:
21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Yeye huuelekeza mahali popote anapopenda.+