Hesabu 35:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Majiji hayo yatakuwa mahali penu pa kukimbilia kutoka kwa mtu anayelipiza kisasi cha damu,+ ili muuaji asiuawe kabla ya kesi yake kusikilizwa mbele ya kusanyiko.+ 13 Majiji sita ya makimbilio mtakayotoa yatatumiwa kwa kusudi hilo.
12 Majiji hayo yatakuwa mahali penu pa kukimbilia kutoka kwa mtu anayelipiza kisasi cha damu,+ ili muuaji asiuawe kabla ya kesi yake kusikilizwa mbele ya kusanyiko.+ 13 Majiji sita ya makimbilio mtakayotoa yatatumiwa kwa kusudi hilo.