Yoshua 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kutoka Saridi, ulielekea upande wa mashariki, na kufika kwenye mpaka wa Kisloth-tabori na kuendelea hadi Daberathi+ na kupanda hadi Yafia. Yoshua 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Huo ndio uliokuwa urithi wa wazao wa Zabuloni kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.
12 Na kutoka Saridi, ulielekea upande wa mashariki, na kufika kwenye mpaka wa Kisloth-tabori na kuendelea hadi Daberathi+ na kupanda hadi Yafia.
16 Huo ndio uliokuwa urithi wa wazao wa Zabuloni kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.