Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 5:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wazao wa nusu ya kabila la Manase+ waliishi katika nchi hiyo kuanzia Bashani mpaka Baal-hermoni na Seniri na Mlima Hermoni.+ Walikuwa wengi sana. 24 Hawa ndio waliokuwa viongozi wa koo* zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli; walikuwa mashujaa hodari, wanaume maarufu, na viongozi wa koo* zao.

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa hawa ndio viongozi wa mashujaa hodari wa Daudi, waliomuunga mkono kwa dhati katika utawala wake, pamoja na Waisraeli wote, ili wamweke kuwa mfalme kulingana na neno alilosema Yehova kuhusu Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki