-
Mwanzo 25:1-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Kisha Abrahamu akaoa mke mwingine, naye aliitwa Ketura. 2 Baada ya muda Ketura akamzalia Abrahamu watoto hawa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,+ Ishbaki, na Shua.+
3 Yokshani akamzaa Sheba na Dedani.
Wana wa Dedani walikuwa Ashurimu, Letushimu, na Leumimu.
4 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa.
Hao wote walikuwa wana wa Ketura.
-