Mwanzo 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Noa akafanya kulingana na mambo yote ambayo Mungu alikuwa amemwamuru. Hivyo ndivyo alivyofanya.+ Kutoka 39:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi wakakamilisha kazi yote ya hema la ibada, yaani, hema la mkutano; Waisraeli walifanya kila jambo ambalo Yehova alimwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyofanya.
22 Basi Noa akafanya kulingana na mambo yote ambayo Mungu alikuwa amemwamuru. Hivyo ndivyo alivyofanya.+
32 Basi wakakamilisha kazi yote ya hema la ibada, yaani, hema la mkutano; Waisraeli walifanya kila jambo ambalo Yehova alimwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyofanya.