2 Kazi za Yehova ni kuu;+
ד [Daleth]
Wale wote wanaopendezwa nazo hujifunza kuzihusu.+
ה [He]
3 Utendaji wake ni wenye utukufu na fahari,
ו [Waw]
Na uadilifu wake unadumu milele.+
ז [Zayin]
4 Hufanya kazi zake zinazostaajabisha zikumbukwe.+
ח [Heth]
Yehova ni mwenye huruma na mwenye rehema.+