7 “Nami nitalishika agano langu nililofanya pamoja nawe+ na uzao wako* baada yako katika vizazi vyao vyote; hili ni agano la milele, ili niwe Mungu wako na Mungu wa uzao wako* baada yako.
6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu, na Yehova Mungu wenu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali yake ya pekee,* kutoka kati ya mataifa yote yaliyo duniani.+
9 Mnajua vizuri kwamba Yehova Mungu wenu ndiye Mungu wa kweli, Mungu mwaminifu, anayetimiza agano lake na kutenda kwa upendo mshikamanifu kufikia kizazi cha elfu cha wale wanaompenda na kushika amri zake.+